mradi wa majisafi…….

habari mpya

mradi wa majisafi uliokamilika mwakakati tunduma

TANK LA MAJI MWAKAKATI UWANJANI

Lenye uwezo wa kuchukua lita 500000 za maji na kuweza kusambaza kwa wakazi wote wa mwakakati na tunduma kwa ujumla

pia kuna pump house hapo chini

hii ipo maomboleo kwajiri ya kupeleka maji kwenye tank kule mwakakati uwanjani